Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai
(kushoto) akizungumza na mgeni wake Mwenyekiti wa kamati ya urafiki
baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (wa pili
kulia), Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang (kulia) na
Afisa kutoka ubalozi wa Iran nchini Tanzania Ndg. Maisara Ally (wa pili
kushoto) walipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai
(kushoto) akimsikiliza mgeni wake Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina
ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (wa pili
kulia), ugeni kutoka Bunge la Iran ulipomtembelea leo Ofisini kwake
Mjini Dodoma. Kulia ni Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa
Farhang na Afisa kutoka ubalozi wa Iran nchini Tanzania Ndg. Maisara
Ally (wa pili kushoto)
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai
(kushoto) akisalimiana na Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa
Farhang (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Katikati
ni Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran,
Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian
Ugeni kutoka Bunge la Iran
ulioongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la
Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (katikati), Balozi wa Iran
nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang (wa pili kulia)wakifuatilia kikao cha
Bunge kinachoendelea leo Mjini Dodoma. Wengine ni Wabunge na Maafisa
kutoka Bunge la Iran
Ugeni kutoka Bunge la Iran
ulioongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la
Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (katikati), Balozi wa Iran
nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang (wa pili kulia)wakifuatilia kikao cha
Bunge kinachoendelea leo Mjini Dodoma. Wengine ni Wabunge na Maafisa
kutoka Bunge la Iran
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
0 Comments