SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WABUNGE KUTOKA BUNGE LA IRAN. V25A0044

V25A0044
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na mgeni wake Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (wa pili kulia), Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang (kulia) na Afisa kutoka ubalozi wa Iran nchini Tanzania Ndg. Maisara Ally (wa pili kushoto) walipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
V25A9917
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza mgeni wake Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (wa pili kulia), ugeni kutoka Bunge la Iran ulipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.  Kulia ni Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang na Afisa kutoka ubalozi wa Iran nchini Tanzania Ndg. Maisara Ally (wa pili kushoto)
V25A9973
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Katikati ni Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian
V25A0138
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya nje, ulinzi na usalama, Mhe. Mussa Zungu akiongoza mazungumzo baina ya wajumbe wa kamati hiyo na Wabunge kutoka Bunge la Iran, walioongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (wan ne kulia) na Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Mousa Frahang (watatu kulia) leo katika ofisi ya Bunge Mjini Dodoma.
V25A9857
Ugeni kutoka Bunge la Iran ulioongozwa na  Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (katikati), Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang (wa pili kulia)wakifuatilia kikao cha Bunge kinachoendelea leo Mjini Dodoma. Wengine ni Wabunge na Maafisa kutoka Bunge la Iran
V25A9871
Ugeni kutoka Bunge la Iran ulioongozwa na  Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (katikati), Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang (wa pili kulia)wakifuatilia kikao cha Bunge kinachoendelea leo Mjini Dodoma. Wengine ni Wabunge na Maafisa kutoka Bunge la Iran
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Post a Comment

0 Comments